Monday 6 May 2013

TAARIFA KAMILI KUHUSU MABOMU ARUSHA Waliojeruhiwa jumla ni 66, mtu mmoja amefariki (mwanakwaya) na kijana mwingine anashikiliwa naPolisi kama mshukiwa wa mlipuko huo...inadaiwa alikutwa na stock byingine ya mabomu alipokamatwa!! Waaliojeruhiwa ni pamoja na Consensia Mbaga(53) Christopher Raymond (10),Deborah Joachim(24) Elizabeth Isdori(24),Anna ­ Didas(52), Bertha Cosinery(49),Ed ­da Ndowo(77) ,Derick Cyprian(8),Faus ­tine Andrea (35),Mary okech,Neema Daud(13). Watu wengine ni Mesoit Siriri (33) ,Clenes pius(22),Joyce yohana (15) ,Restuta Alex(50), Mathias Riha (74), Magreth Andrew(45), James Gabriel (16), Regina James (17), Elizabeth Masawe(15), Elizabeth Sauli(18), Njau (35),Yasinta Msafiri (160 na Doreen Pancras(28). Idadi wajeruhi wengine ni Alex Arnold,Agripina ­ Alex(9),James Gabriel(16),lov ­eness nelson (17) ,Amalone Pius(25),Frank Donatus (10) ,Alphonce Nyalandu (26),Athanasia Reginald (14),Phillemon Ceressa(49) ,Neema Daud(13)Sophia Kanda(72) ,Theofrida Inocent(21), na Regina Darnes(17).

No comments:

Post a Comment