Monday 6 May 2013
TAARIFA KAMILI KUHUSU MABOMU ARUSHA
Waliojeruhiwa jumla ni 66, mtu mmoja amefariki (mwanakwaya) na kijana mwingine anashikiliwa naPolisi kama mshukiwa wa mlipuko huo...inadaiwa alikutwa na stock byingine ya mabomu alipokamatwa!!
Waaliojeruhiwa ni pamoja
na Consensia Mbaga(53) Christopher
Raymond (10),Deborah Joachim(24)
Elizabeth Isdori(24),Anna Didas(52),
Bertha Cosinery(49),Ed da Ndowo(77)
,Derick Cyprian(8),Faus tine Andrea
(35),Mary okech,Neema Daud(13).
Watu wengine ni Mesoit Siriri (33)
,Clenes pius(22),Joyce yohana (15)
,Restuta Alex(50), Mathias Riha (74),
Magreth Andrew(45), James Gabriel
(16), Regina James (17), Elizabeth
Masawe(15), Elizabeth Sauli(18), Njau
(35),Yasinta Msafiri (160 na Doreen
Pancras(28). Idadi wajeruhi wengine
ni Alex Arnold,Agripina Alex(9),James
Gabriel(16),lov eness nelson (17)
,Amalone Pius(25),Frank Donatus (10)
,Alphonce Nyalandu (26),Athanasia
Reginald (14),Phillemon Ceressa(49)
,Neema Daud(13)Sophia Kanda(72)
,Theofrida Inocent(21), na Regina
Darnes(17).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment