" yasikukute ni bora uyasikie yakikukuta utalia kuliko mie'
NA Israel Binaisa
kwanza
tuanze nakumshukuru mwenyezi mungu muumba wa aridhi na mbingu na vitu
vyote vilivyopo ndani ya dunia hii natumaini muwazima wa afya njema,
ugueni pole wenye matatizo mbali mbali ya kiafya wagonjwa wote waliopo
ma hosipitalini na waliofungwa jela kwa makosa ya kusingiziwa LIFE PARTNET ENTERTAINMENT
tunapenda kuwaleteeni hadithi yenye mkasa wa kusisimua kama tulivyo
duniani hakuna mwanadamu hasiyependa maisha ya raha na hakuna mwanadamu
anayependa shida hadithi hii inawahusu mapacha wawili ambao walizaliwa
ila hawakubahatika kupata malezi ya mama kwani mama yao alifariki mda
mfupi baada ya kujifungua watoto hao hivyo mapacha hao kulelewa na ndugu
ata hivyo baba yao alifariki baada ya miezi miwili baadae kwa kugongwa
na gari hivyo ikapelekea kufanya vichanga hivyo kulelewa katika
mazngila magumu zaidi vichanga hivi ni kulwa mwanamalundi na doto
aliitwa saleh na baba yao aliitwa malundi na mama yao aliitwa rebeca
malundi ama kweli YASIKUKUTE NI BORA UYASIKIE YAKIKUKUTA UTALIA KULIKO MIE fuatana nasi upate kujua zaidi mkasa huu ambao utaluka ijumaa na jumatatu hii ni hapa pekee luckyjurnior.blogspot.com
SEHEMU YA KWANZA 1
Hali ilizidi kuwa mbaya zaidi baada ya wazazi wao kufariki na watoto hao kulelewa na baba yao mdogo ambaye alifahamika kwa jina la Jafety ,baada ya miezi minne baada ya wazazi wao kufariki ugomvi ulianza kujitokeza katika familia ya bwana Jafety ilikuwa ni saa saba usiku mama JAFETY akiongea na mumewe
Mama Jafety;mume wangu hivi ni nini hatima ya hawa waatoto ?
Jafety;kwani kuna tatizo?
Mama jafety; tatizo lipo
Jafety; tatizo lipi ilo
Mama Jafety; kwani toka tulipo oana sijabahatika kupata mtoto ,alafu leo hii na lea watotot wa mtu mwingine tena mapacha uoni kwamba ni tatizo
Jafety ;mke wangu kumbuka hawa watoto ni yatima tena ni watoto wa marehemu kaka yangu ,hivyo jukumu lakuwalea ni letu sote kama wanandoa
Mama Jaffety;hivi hawa watoto unawalea sangapi wakati ukitoka kazini unaenda moja kwa moja bar ,sasa ni nachokisema ni kwamba nimechoka kulea hizi mbwa zako zisizo na adabu kula mda wote kama mbwa koko
JFETY; mke wangu usiwe hivyo kuwa na roho ya kibinadamu ,na kuahidi kuwa karibu nawe mda wote Katika kuwalea hawa watoto
Mama Jafety; nitavumilia kama ukifuata mashariti yangu ,ukitoka kazini naomba urudi nyumbani na tusaidiane kulea hawa watoto
Jafety; ilo halina tatizo
BAADA YA MWAKA MMOJA
Baadae malezi ya watoto hao yalizidi kusikitisha jamii afya zao zilizolota kwani hawa kupata huduma za kutosha mara nyingine walishinda na njaa na kufungiwa ndani majirani waliwaonea huruma sana watoto hao habari zilizagaa zaidi mitaani kwa unyasaji wa hao watoto kweli mwanamke huyu bi;sauda alikuwa katiri hakuna mfano kama vile hakuzaliwa na binadamu ,kwani mda aliotaka kuondoka nyumbani aliwafungia watotot hao nakuwaacha bila msaaada wowote.
Ndipo majirani uzarendo ulipowashinda siku hiyo asubuhi mwanamalundi alikuwa akicheza karibu na jiko lililokuwa limepashiwa maji alilidondosha kwa bahati mbaya na maji kumchoma karibu sehemu zote za mwili wake hakuweza kupata msaada wowote kwani malango ulikuwa umefungwa kwa nje ,Mama Sabela ambaye ni jiran yao alishituka kusikia vilio mfululizo alipofika nyumbani kwa Jafety alikuta malango umefungwa kilichomshangaza zaidi alipoona mlango huo umefungwa na kufuri huku vilio vya watoto hao kutokea ndani humo ndipo alipoamua kwenda kutoa taarifa kwenye kituo kidogo cha polisi ata hivyo jitihada zake ziligonga mwamba baada ya askari hao kumtaka alipe kiasi cha shiringi elfu therathini na kukodiwa gari ili waende eneo la tukio
Mama Msamalia mwema ;tafadhari naitaji msaada wenu na pesa hiyo mnayoitaji mimi hapa sina tafadhari naomba tusaidiane kuokoa maisha ya watoto
Afande; lakin hebu twende tukamsaidie
polisi walipofika eneo la tukio walikuta kimya kimetawala kitu ambacho kilimpa wasiwasi mama sabela ndipo polisi walipo amua kuvunja mlango na kuingia ndani hali waliyo ikuta ilisikitisha zaidi na kuhuzunisha na hakuna haliyeweza kujizuia kutoa machozi maana waliwakuta watoto hao wakiwa hawana nguo hata moja huku wakiwa wamelala sakafuni Mwanamalundi alikuwa na hali mbaya zaidi
kwani mwili wake ulitisha kwa vidonda vilivyotawala mwili mzima
Askari waliwachukua watoto hao na kuwapeleka katika hospitali ya rufaa waikwa chini ya usimamizi wa mama sabela .huku polisi wakiendelea na jitihada za kuwa tafuta walezi wa watoto hao
****
Sauda alipofika nyumbani alishangaa kuoana hali aliyoikuta mlango ulikuwa umebomolewa na alipojaribu kuchunguza ndani hakuwakuta watoto ndipo alipo amua kumpigia simu mumewe lakini simu ya mumewe iliiata bila kupokelewa na ni kitu kilichozidi kumpa wasiwasi zaidi aliamua kwenda kwa mama isabela lakini alimkosa alivyo pita katika mitaa majirani walimtazama kwa hasira sana na hata alipo wasalimia baadhi yao hawa kuitikia salamu yake akiwa anatafakari nini cha kufanya akakumbuka kumpigia simu mumewe kabla ajapiga simu .simu yake sauda iliita alikuwa ni mama isabela jirani yake ndiye aliyempigia
Mama isabela;hallo
Sauda;halo mama isabela mwenzio nina matatizo hapa nyumbani
Mama isabela;kuna nini
Sauda;nilikuwa nimeenda kumsalimu mama kijijini niliporudi nimekuta mlango umevunjwa na watoto hawapo
Mama sabela; hivi shoga yangu unapotoka nyumbani watoto uwa unawaaacha na nani
Sauda; niwaaache na nani wakati unajua hapa nyumbani niko peke yangu ,ninacho kifanya uwa nina wafungia ndani
Mama sabela;shoga yangu kweli wewe ni katiri sana tena ufai
ghafla simu ya mama isabela inaisha chaji ,mara simu ya sauda inaita kwa mara nyingine kuitazama anakuta namba ya mumewe anashituka kusikia sauti ya kike taarifa anazo pata zinamchanganya zaidi ,
njoo haraka hospitali ya rufaa uweze kumuona mumeo akiwa anajiandaaa kutoka nyumbani kwake ghafla kwa mbali anaona gari ya polisi ikija kwa kasi upande wake
JE NINI KILIENDELEA ENDELEA KUFUATILIA BLOG HII PEKEE
SEHEMU YA PILI
ILIPOISHIA JUMATATU ,sauda akiwa anajiandaa kutoka nyumbani kwake kuelekea hospitali alikotakiwa kufika haraka,mala gari ya police inafunga breck mbele ya nyumba yake police wenye silaha nzito wanaluka ndani ya difender na kumvaa sauda kisha kumtupia ndani ya gari ,ungebahatika kuwaona ungedhani labda walikuja kumkamata jambazi sugu.sauda alikua akitetememeka mwili mzima kila alipouliza nini kosa lake alijibiwa kwa vibao,
*******
walitizamana na mama sauda
kuangua vilio ambavyo viliwashitua baadhi ya wagonjwa ,askal waliamua
kumtoa nje sauda lakini kabra ya kutoka sauda aliomba awasiliane na
mumewe lakini .mama isabera alimkatisha ",mumeo yupo wodi namba kumi ,!
mungu wangu kafanyeje tena ,nenda kamuone akiwa kwenye koldo madacktari
wawili wanatoka wodi namba kumi huku wakibishana ***lakini tumejitaidi
kuokoa maisha yake JE NINI KITAENDELE A FUATANA NASI JUMATATU UPATE
KUJUA NINI KILIENDELEA
SEHEMU YA TATU
Sauda alifikishwa hosipitali akiwa chini ya ulinzi wa askari ,mama isabela alimsimulia yote hadi kupelekea mwanae kulazwa hospitali .akiwa anaelekea wodi aliyolazwa jafety anapishana na madaktali wawili waliokuwa wakimtibu mumewe huku wakisimuliana jitihada walizo tumia kuokoa uhai wa jafety lakini ikashindikana .sauda anaingia wodini nakukuta nesi akifunika mwili wa jafety anvyotaka kufunua shuka ilikumjulia hari mumewe nesi anamshika mkono nakumvutia nje"bila shaka wewe ni ndugu wa jafety ? pole kwa haya yaliyotokea haya mambo yapo na yanatoke hivyo hunabudi kufunga mkanda na kujikaza " sauda ambaye kwa mda huo alionekana kuwa na wasiswasi mwingi huku machozi yakimtoka nguvu taratibu zilianza kumuishia kwani alianza kufungua na kujua kuwa jafety mumewe tayari ameshapoteza maisha ata hivyo alisaidiwa na polisi ambao walikuwa naye na kimtoa nje ya wodi .Dactari ambaye alikuwa akimtibu mumewe aliwafuata na kuwapa taarifa rasmi za kifo cha jafety .Mama isabela anapata wakati mgumu zaidi hivyo anahamua kuwa pigia simu ndugu wa jafety
****************
Ilikuwa ni asubuhi na mapema ndugu wanakusanyika nyumbani kwa jafety ,majirani wa shitushwa na kifo cha jafety ,awali walijua kuwa mwanamalundi ndiye aliyefariki,mwili wa jafety unapelekwa nyumbani kwake kwa ajiri ya taratibu za mazishi kuendelea .Ni siku ya tatu toka jafety afariki huku mkewe akiwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la unyanyasaji wa watoto,Jafety alizikwa katika makaburi ya Itolowa
Siku ya nne ndugu wanakaa kikao na kumuomba mama Isabela kuwasimulia yaliyotokea kila mtu anasikitishwa na taarifa aliyotoa mama Isabela ,mzee mmoja wa makamo anasimama na kumpongeza mama isabela ,na kuwaomba wakina mama kuiga mfano wa mama huyo ,wanatoka baadhi ya ndugu na kuongozana na mama isabela hadi hosipitari alikolazwa mwanamalundi walipofika hosipitali walisikitishwa na hali waliyo mkuta nayo mwanamalundi baadae wanapanga mipango jinsi ya kuwalea watoto hao ,dada wa marehemu mama justina anajitokeza nakuomba mwanamalundi na salehe wawe chini yake na kuishi nao .Ndugu wanakubali bila kipingamizi
Baada ya miezi miwili mwanamalundi na salehe wanarudi katika hali nzuri na kuishi maisha ya furaha ,mama Isabela anajijengea utaratibu wakuenda kuwaona watoto hao kila mwisho wa wiki ,mama Isabela anafurahi sana
Siku moja mama Isabela akiwa anaelekea nyumbani kwakina Mwanamalundi anashangazwa na hali aliyoikuta nyumbani hapo
ukimya ulitawala uliomfanya mama Isabela amini hakukuwa na mtu nyumbani hapo .alibisha hodi lakini hakuwepo mtu wa kuitikia na hivyo akaamua kwenda kwa jirani kuwaulizia alimkuta kijana mmoja alipouliza alijibiwa kwamba shangazi wa mwanamalundi amesafiri ila wao uwa wanabaki na dada yao shangazi aliondoka
**************************
Ilikuwa ni siku ya furaha kwa sauda kwani alikuwa amemaliza kifungo chake gerezani hivyo aliachiwa huru .Alirudi nyumbani kwaajiri ya kuanza maisha upya uku asijue ni wapi kwa kuanzia alienda kwa mama Isabela na mama Isabela alifurahi sana kumuona Sauda
Mama Isabela; "ndugu yangu pole kwa matatizo
Sauda: asante nashukuru,za hapa nyumbani
Mama Isabela alimtizama sauda bila atakumaliza sababu sauda alionekana kachoka na ngozi yake maji yakunde ilibadilika na kuwa ya kaawia na vipele vidogo vidogo vilivyo tanda karibu mwili mzima pia alionekana kupungua mwili na kuwa mnyonge na mwenye mawazo mengi sana kwa kifupi alitia huruma
Mama Isabela alimkaribisha ndani na walianza maongezi Sauda alimsimulia yote maisha ya gerezani na pia mama Isabela nae alimsimulia yote yaliyo tokea toka kifo cha mumewe na kumfanyaSauda kutokwa na machozi kilichomumiza zaidi ni pale alipopewa taalifa ndugu wa Jafeti kuuza nyumba yao na mali zote walizochuma na mumewe sauda aliuliza "hata hoteli"
alijibiwa ndiyo kwani msiba ulipoisha vitu vyote vilipigwa mnada
hata ile gari yangu ?
SEHEMU YA NNE
Sauda alizidi kuchanganyikiwa baada ya kupewa taarifa kua ndugu wa mume wake wamepiga mnada mali zote walizochuma na mumewe pamoja na gari ya sauda aliyoinunua kwa pesa yake mwenyewe
Akiwa katika dibwi la mawazo aliyakumbuka maisha yake ya zamani jinsi alivyokuwa akijirusha katika viwanja mbali mbali roho ilimuuma sana pale alipokumbuka kwamba alipotaka kwenda kwenye starehe watoto aliwafungia ndani bila hata msaada wowote na alipomaliza mizunguko yake ndipo aliporudi nyumbani pia aliumia sana alipokumbuka siku ile ambayo ndiyo chanzo cha matatizo yote na kupelekea kifo cha mumewe Sauda alitamani kurudi nyumbani lakini kwa jinsi alivyokuwa akimtendea mama yake alipokwenda kumsalimu alikata tamaa maana alimfanyia kitendo cha kinyama sana alifikiria sana ila hakupata jibu "hivi leo hii sauda mimi ndiyo wakuwa hivi ama kweli dunia kigeugeu niliwadharau wazazi wangu ni miaka tisa tangu niolewe lakini sijawai kuwatembelea mbaya zaidi nilimkana mama yangu mbele ya rafiki zangu pia sikupenda kushirikiana na majirani zangu kwa sababu hari ya maisha yao na mimi niliamini hatufanani
Sauda alishitushwa na mama isabela ambaye alikuwa kimya mda wote utadhani alijua alichokuwa anawaza Sauda
Mama Isabela ; sauda punguza mawazo mdogo wangu haya mambo yako na yanatokea cha kufanya rudi nyumbani kawaombe radhi wazazi wale ni watu wazima watakuelewa
****************************************************
Nyumbani kwakina mwanamalundi siku hiyo ilitawaliwa na huzuni bila kikomo kwani hadi sasa saa mbili usiku mwanamalundi na saleh hawa kueleweka wapi waliko majirani waliwatafuta kwa mda mrefu bila kupata mafanikio hivyo iliwabidi kwenda kituo cha polisi kutoa taarifa ilikuwa ni saa tano usiku shangazi yao alilia sana na kusema hivi nini kimewapata wanangu na nitasema nini kwa ndugu zangu .pamoja na mawazo yote kumbe sababu ya watoto hao kuondoka nyumbani ni kwamba shangazi yao alipokwenda kazini wao alifanyisha kazi ngumu na siku nyingine walinyimwa chakula na hiki ndicho chanzo cha watoto hao kutangatanga mitaani na baadae kutoloka nakuwa watoto wa mitaani
********************************
Mvua kubwa ilinyesha ilikuwa imeambatana na upepo mkali pamoja na ngurumo za radi Mwanamalundi pamoja na Sarehe walikuwa chini ya mti mkubwa ambapo walikuwa wamejihifadhi kwa usiku ule baada ya maangaiko ya siku nzima walijikunyata wakiwa wana tetemeka baridi kali ghafla walishitushwa na mwanga mkali uliokuwa umeelekezwa walipo lala waliaanza kukimbia na kila mmoja asijue mwenzie wapi alikoelekea
***************************
Nyumbani shangazi wa mwanamalundi aliendelea kuwataarifu ndugu kwa kutumia simu yake ya mkononi ghafla alisikia mlango ukigongwa aliamka taratibu na kuenda mlangoni alipofika mlangono alisikia sauti za vilio zikisikika kwa mbali sana alipojaribu kuuliza ni nani ,sauti ilizidi kuongezeka aliposikiliza kwa makini aliitambua sauti akafungua mlango taratibu alipomaliza tu kuufungua ule mlango alishituka kuona kuwa ni Sarehe na hali aliyokuwa nayo siyo ya kawaida alipomuuliza mwenzake alipo kabla hajajibiwa mala walisikia kilio "mama nakufaaaaaa " kikitokea mbali kidogo na kilisikika mara mbili tu na ghafla kukatawaliwa na ukimya
JE NINI KILITOKEA USIKOSE KESHO JUMATATU
SEHEMU YA KWANZA 1
Hali ilizidi kuwa mbaya zaidi baada ya wazazi wao kufariki na watoto hao kulelewa na baba yao mdogo ambaye alifahamika kwa jina la Jafety ,baada ya miezi minne baada ya wazazi wao kufariki ugomvi ulianza kujitokeza katika familia ya bwana Jafety ilikuwa ni saa saba usiku mama JAFETY akiongea na mumewe
Mama Jafety;mume wangu hivi ni nini hatima ya hawa waatoto ?
Jafety;kwani kuna tatizo?
Mama jafety; tatizo lipo
Jafety; tatizo lipi ilo
Mama Jafety; kwani toka tulipo oana sijabahatika kupata mtoto ,alafu leo hii na lea watotot wa mtu mwingine tena mapacha uoni kwamba ni tatizo
Jafety ;mke wangu kumbuka hawa watoto ni yatima tena ni watoto wa marehemu kaka yangu ,hivyo jukumu lakuwalea ni letu sote kama wanandoa
Mama Jaffety;hivi hawa watoto unawalea sangapi wakati ukitoka kazini unaenda moja kwa moja bar ,sasa ni nachokisema ni kwamba nimechoka kulea hizi mbwa zako zisizo na adabu kula mda wote kama mbwa koko
JFETY; mke wangu usiwe hivyo kuwa na roho ya kibinadamu ,na kuahidi kuwa karibu nawe mda wote Katika kuwalea hawa watoto
Mama Jafety; nitavumilia kama ukifuata mashariti yangu ,ukitoka kazini naomba urudi nyumbani na tusaidiane kulea hawa watoto
Jafety; ilo halina tatizo
BAADA YA MWAKA MMOJA
Baadae malezi ya watoto hao yalizidi kusikitisha jamii afya zao zilizolota kwani hawa kupata huduma za kutosha mara nyingine walishinda na njaa na kufungiwa ndani majirani waliwaonea huruma sana watoto hao habari zilizagaa zaidi mitaani kwa unyasaji wa hao watoto kweli mwanamke huyu bi;sauda alikuwa katiri hakuna mfano kama vile hakuzaliwa na binadamu ,kwani mda aliotaka kuondoka nyumbani aliwafungia watotot hao nakuwaacha bila msaaada wowote.
Ndipo majirani uzarendo ulipowashinda siku hiyo asubuhi mwanamalundi alikuwa akicheza karibu na jiko lililokuwa limepashiwa maji alilidondosha kwa bahati mbaya na maji kumchoma karibu sehemu zote za mwili wake hakuweza kupata msaada wowote kwani malango ulikuwa umefungwa kwa nje ,Mama Sabela ambaye ni jiran yao alishituka kusikia vilio mfululizo alipofika nyumbani kwa Jafety alikuta malango umefungwa kilichomshangaza zaidi alipoona mlango huo umefungwa na kufuri huku vilio vya watoto hao kutokea ndani humo ndipo alipoamua kwenda kutoa taarifa kwenye kituo kidogo cha polisi ata hivyo jitihada zake ziligonga mwamba baada ya askari hao kumtaka alipe kiasi cha shiringi elfu therathini na kukodiwa gari ili waende eneo la tukio
Mama Msamalia mwema ;tafadhari naitaji msaada wenu na pesa hiyo mnayoitaji mimi hapa sina tafadhari naomba tusaidiane kuokoa maisha ya watoto
Afande; lakin hebu twende tukamsaidie
polisi walipofika eneo la tukio walikuta kimya kimetawala kitu ambacho kilimpa wasiwasi mama sabela ndipo polisi walipo amua kuvunja mlango na kuingia ndani hali waliyo ikuta ilisikitisha zaidi na kuhuzunisha na hakuna haliyeweza kujizuia kutoa machozi maana waliwakuta watoto hao wakiwa hawana nguo hata moja huku wakiwa wamelala sakafuni Mwanamalundi alikuwa na hali mbaya zaidi
kwani mwili wake ulitisha kwa vidonda vilivyotawala mwili mzima
Askari waliwachukua watoto hao na kuwapeleka katika hospitali ya rufaa waikwa chini ya usimamizi wa mama sabela .huku polisi wakiendelea na jitihada za kuwa tafuta walezi wa watoto hao
****
Sauda alipofika nyumbani alishangaa kuoana hali aliyoikuta mlango ulikuwa umebomolewa na alipojaribu kuchunguza ndani hakuwakuta watoto ndipo alipo amua kumpigia simu mumewe lakini simu ya mumewe iliiata bila kupokelewa na ni kitu kilichozidi kumpa wasiwasi zaidi aliamua kwenda kwa mama isabela lakini alimkosa alivyo pita katika mitaa majirani walimtazama kwa hasira sana na hata alipo wasalimia baadhi yao hawa kuitikia salamu yake akiwa anatafakari nini cha kufanya akakumbuka kumpigia simu mumewe kabla ajapiga simu .simu yake sauda iliita alikuwa ni mama isabela jirani yake ndiye aliyempigia
Mama isabela;hallo
Sauda;halo mama isabela mwenzio nina matatizo hapa nyumbani
Mama isabela;kuna nini
Sauda;nilikuwa nimeenda kumsalimu mama kijijini niliporudi nimekuta mlango umevunjwa na watoto hawapo
Mama sabela; hivi shoga yangu unapotoka nyumbani watoto uwa unawaaacha na nani
Sauda; niwaaache na nani wakati unajua hapa nyumbani niko peke yangu ,ninacho kifanya uwa nina wafungia ndani
Mama sabela;shoga yangu kweli wewe ni katiri sana tena ufai
ghafla simu ya mama isabela inaisha chaji ,mara simu ya sauda inaita kwa mara nyingine kuitazama anakuta namba ya mumewe anashituka kusikia sauti ya kike taarifa anazo pata zinamchanganya zaidi ,
njoo haraka hospitali ya rufaa uweze kumuona mumeo akiwa anajiandaaa kutoka nyumbani kwake ghafla kwa mbali anaona gari ya polisi ikija kwa kasi upande wake
JE NINI KILIENDELEA ENDELEA KUFUATILIA BLOG HII PEKEE
SEHEMU YA PILI
ILIPOISHIA JUMATATU ,sauda akiwa anajiandaa kutoka nyumbani kwake kuelekea hospitali alikotakiwa kufika haraka,mala gari ya police inafunga breck mbele ya nyumba yake police wenye silaha nzito wanaluka ndani ya difender na kumvaa sauda kisha kumtupia ndani ya gari ,ungebahatika kuwaona ungedhani labda walikuja kumkamata jambazi sugu.sauda alikua akitetememeka mwili mzima kila alipouliza nini kosa lake alijibiwa kwa vibao,
Huko hospital hali iizidi kuwa
mbaya kwa JAPHETI kila mda ulivyozidi kwenda presha ilizidi
kupanda,Mama isabera kila alipojalibu kupiga simu ya Sauda haikupatikana
na kumfanya azidi kuchanganyikiwa kwa sababu hakukua na ndugu hata
mmoja aliefika toka wafike asubuhi zaidi ya japhet ambae nae alipofika
tu akazilai
Sauda alipofikishwa katika kituo
kidogo cha police uyole awali alikana mashtaka yanayo mkabiri hivyo
askari hao kuamua kuongozana nae hadi hospital ya rufaa ambako
Mwanamalundi alikua akitibiwa alipofika na kuingia whod ya watoto
alishangaa¡ kumuona mama isabela akiwa bize kumnywesha uji .Mwanamalundi
huku mgongoni akiwa amembeba sarehe alibubujikwa na machozi na baadae
kukiri kua mwenye hatia na kwa uchungu ",alionge huku akili nakili kua
mimi ni mwenye hatia pore mama isabela kwa kuokoa maisha ya watoto hawa
hivyo sina budi kusema nastail azabu inayonipasa bira kunipeleka
mahakamani"
SEHEMU YA TATU
Sauda alifikishwa hosipitali akiwa chini ya ulinzi wa askari ,mama isabela alimsimulia yote hadi kupelekea mwanae kulazwa hospitali .akiwa anaelekea wodi aliyolazwa jafety anapishana na madaktali wawili waliokuwa wakimtibu mumewe huku wakisimuliana jitihada walizo tumia kuokoa uhai wa jafety lakini ikashindikana .sauda anaingia wodini nakukuta nesi akifunika mwili wa jafety anvyotaka kufunua shuka ilikumjulia hari mumewe nesi anamshika mkono nakumvutia nje"bila shaka wewe ni ndugu wa jafety ? pole kwa haya yaliyotokea haya mambo yapo na yanatoke hivyo hunabudi kufunga mkanda na kujikaza " sauda ambaye kwa mda huo alionekana kuwa na wasiswasi mwingi huku machozi yakimtoka nguvu taratibu zilianza kumuishia kwani alianza kufungua na kujua kuwa jafety mumewe tayari ameshapoteza maisha ata hivyo alisaidiwa na polisi ambao walikuwa naye na kimtoa nje ya wodi .Dactari ambaye alikuwa akimtibu mumewe aliwafuata na kuwapa taarifa rasmi za kifo cha jafety .Mama isabela anapata wakati mgumu zaidi hivyo anahamua kuwa pigia simu ndugu wa jafety
****************
Ilikuwa ni asubuhi na mapema ndugu wanakusanyika nyumbani kwa jafety ,majirani wa shitushwa na kifo cha jafety ,awali walijua kuwa mwanamalundi ndiye aliyefariki,mwili wa jafety unapelekwa nyumbani kwake kwa ajiri ya taratibu za mazishi kuendelea .Ni siku ya tatu toka jafety afariki huku mkewe akiwa chini ya ulinzi wa polisi kwa kosa la unyanyasaji wa watoto,Jafety alizikwa katika makaburi ya Itolowa
Siku ya nne ndugu wanakaa kikao na kumuomba mama Isabela kuwasimulia yaliyotokea kila mtu anasikitishwa na taarifa aliyotoa mama Isabela ,mzee mmoja wa makamo anasimama na kumpongeza mama isabela ,na kuwaomba wakina mama kuiga mfano wa mama huyo ,wanatoka baadhi ya ndugu na kuongozana na mama isabela hadi hosipitari alikolazwa mwanamalundi walipofika hosipitali walisikitishwa na hali waliyo mkuta nayo mwanamalundi baadae wanapanga mipango jinsi ya kuwalea watoto hao ,dada wa marehemu mama justina anajitokeza nakuomba mwanamalundi na salehe wawe chini yake na kuishi nao .Ndugu wanakubali bila kipingamizi
Baada ya miezi miwili mwanamalundi na salehe wanarudi katika hali nzuri na kuishi maisha ya furaha ,mama Isabela anajijengea utaratibu wakuenda kuwaona watoto hao kila mwisho wa wiki ,mama Isabela anafurahi sana
Siku moja mama Isabela akiwa anaelekea nyumbani kwakina Mwanamalundi anashangazwa na hali aliyoikuta nyumbani hapo
ukimya ulitawala uliomfanya mama Isabela amini hakukuwa na mtu nyumbani hapo .alibisha hodi lakini hakuwepo mtu wa kuitikia na hivyo akaamua kwenda kwa jirani kuwaulizia alimkuta kijana mmoja alipouliza alijibiwa kwamba shangazi wa mwanamalundi amesafiri ila wao uwa wanabaki na dada yao shangazi aliondoka
**************************
Ilikuwa ni siku ya furaha kwa sauda kwani alikuwa amemaliza kifungo chake gerezani hivyo aliachiwa huru .Alirudi nyumbani kwaajiri ya kuanza maisha upya uku asijue ni wapi kwa kuanzia alienda kwa mama Isabela na mama Isabela alifurahi sana kumuona Sauda
Mama Isabela; "ndugu yangu pole kwa matatizo
Sauda: asante nashukuru,za hapa nyumbani
Mama Isabela alimtizama sauda bila atakumaliza sababu sauda alionekana kachoka na ngozi yake maji yakunde ilibadilika na kuwa ya kaawia na vipele vidogo vidogo vilivyo tanda karibu mwili mzima pia alionekana kupungua mwili na kuwa mnyonge na mwenye mawazo mengi sana kwa kifupi alitia huruma
Mama Isabela alimkaribisha ndani na walianza maongezi Sauda alimsimulia yote maisha ya gerezani na pia mama Isabela nae alimsimulia yote yaliyo tokea toka kifo cha mumewe na kumfanyaSauda kutokwa na machozi kilichomumiza zaidi ni pale alipopewa taalifa ndugu wa Jafeti kuuza nyumba yao na mali zote walizochuma na mumewe sauda aliuliza "hata hoteli"
alijibiwa ndiyo kwani msiba ulipoisha vitu vyote vilipigwa mnada
hata ile gari yangu ?
SEHEMU YA NNE
Sauda alizidi kuchanganyikiwa baada ya kupewa taarifa kua ndugu wa mume wake wamepiga mnada mali zote walizochuma na mumewe pamoja na gari ya sauda aliyoinunua kwa pesa yake mwenyewe
Akiwa katika dibwi la mawazo aliyakumbuka maisha yake ya zamani jinsi alivyokuwa akijirusha katika viwanja mbali mbali roho ilimuuma sana pale alipokumbuka kwamba alipotaka kwenda kwenye starehe watoto aliwafungia ndani bila hata msaada wowote na alipomaliza mizunguko yake ndipo aliporudi nyumbani pia aliumia sana alipokumbuka siku ile ambayo ndiyo chanzo cha matatizo yote na kupelekea kifo cha mumewe Sauda alitamani kurudi nyumbani lakini kwa jinsi alivyokuwa akimtendea mama yake alipokwenda kumsalimu alikata tamaa maana alimfanyia kitendo cha kinyama sana alifikiria sana ila hakupata jibu "hivi leo hii sauda mimi ndiyo wakuwa hivi ama kweli dunia kigeugeu niliwadharau wazazi wangu ni miaka tisa tangu niolewe lakini sijawai kuwatembelea mbaya zaidi nilimkana mama yangu mbele ya rafiki zangu pia sikupenda kushirikiana na majirani zangu kwa sababu hari ya maisha yao na mimi niliamini hatufanani
Sauda alishitushwa na mama isabela ambaye alikuwa kimya mda wote utadhani alijua alichokuwa anawaza Sauda
Mama Isabela ; sauda punguza mawazo mdogo wangu haya mambo yako na yanatokea cha kufanya rudi nyumbani kawaombe radhi wazazi wale ni watu wazima watakuelewa
****************************************************
Nyumbani kwakina mwanamalundi siku hiyo ilitawaliwa na huzuni bila kikomo kwani hadi sasa saa mbili usiku mwanamalundi na saleh hawa kueleweka wapi waliko majirani waliwatafuta kwa mda mrefu bila kupata mafanikio hivyo iliwabidi kwenda kituo cha polisi kutoa taarifa ilikuwa ni saa tano usiku shangazi yao alilia sana na kusema hivi nini kimewapata wanangu na nitasema nini kwa ndugu zangu .pamoja na mawazo yote kumbe sababu ya watoto hao kuondoka nyumbani ni kwamba shangazi yao alipokwenda kazini wao alifanyisha kazi ngumu na siku nyingine walinyimwa chakula na hiki ndicho chanzo cha watoto hao kutangatanga mitaani na baadae kutoloka nakuwa watoto wa mitaani
********************************
Mvua kubwa ilinyesha ilikuwa imeambatana na upepo mkali pamoja na ngurumo za radi Mwanamalundi pamoja na Sarehe walikuwa chini ya mti mkubwa ambapo walikuwa wamejihifadhi kwa usiku ule baada ya maangaiko ya siku nzima walijikunyata wakiwa wana tetemeka baridi kali ghafla walishitushwa na mwanga mkali uliokuwa umeelekezwa walipo lala waliaanza kukimbia na kila mmoja asijue mwenzie wapi alikoelekea
***************************
Nyumbani shangazi wa mwanamalundi aliendelea kuwataarifu ndugu kwa kutumia simu yake ya mkononi ghafla alisikia mlango ukigongwa aliamka taratibu na kuenda mlangoni alipofika mlangono alisikia sauti za vilio zikisikika kwa mbali sana alipojaribu kuuliza ni nani ,sauti ilizidi kuongezeka aliposikiliza kwa makini aliitambua sauti akafungua mlango taratibu alipomaliza tu kuufungua ule mlango alishituka kuona kuwa ni Sarehe na hali aliyokuwa nayo siyo ya kawaida alipomuuliza mwenzake alipo kabla hajajibiwa mala walisikia kilio "mama nakufaaaaaa " kikitokea mbali kidogo na kilisikika mara mbili tu na ghafla kukatawaliwa na ukimya
JE NINI KILITOKEA USIKOSE KESHO JUMATATU
No comments:
Post a Comment